Friday, September 4, 2009

Pinda Atua Kenya

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Kenya,Raila Odinga wakitazama ngoma baada ya Waziri Mkuu Pinda kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kwa ziara ya siku mbili.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

jide na gadna katika vekesheni sauzi


inaelelea mdudu wa vekesheni anazidi kungáta wadau mmoja baada ya mwingine. safari hii ni jide na mai hazbendi wake keptein gadna g. habash ambao hapo wanakula festiklasi kuelekea vekesheni sauzi. tatizo bibie mpenzi wa chelsea na mzee mzima ni bwawa la maini damu. hapo sasa.
taswira zaidi ya vekesheni hii nenda
www.ladyjaydee.blogspot.com

roman abramovic to scale kilimanjaro mountain tomorrow

Roman Abramovich talks to deputy Minister for Industreis and Trade Dk. Cyril Chami soon after his arrival at the Kilimanjaro International Airport last night. (photo courtesy of IPP)
Chelsea FC's billionaire owner Roman Abramovich climbs Kilimanjaro Mountain for eight days starting tomorrow via the Shira Route in West Kilimanjaro via the Western Breach Wall, after that he goes back to London.
He arrived last night at around 8pm, slept at Rivertrees just outside maji ya chai in Arusha, and early this morning boarded a helicopter to Simba Farm where he spends the night before his Kili-trek tomorrow morning.
He will be back in London for the Tuesday, 15 September 2009 Uefa Champions LeagueChelsea v FC Porto at Stanford Bridge.

bao

wadau wakiburudika na mchezo wa bao maeneo ya mikocheni jijini dar. wengi wa wadau hawa hujishughulisha na kazi za ulinzi na saa zingine ususi wa nywele hasa za kinamama aina ya rasta

Mandy akiwa kwenye picha ya pamoja na


Sema mkubwa habari za leo, pole na Swaumu kaka nimekutumia email hii uniweke hewani kwa wadau na mimi nimeingia kwenye libenekekaka.
watu wakitembelea humu watapata kujua mambo mbali mbali kuhusu mimi na RJ Company Tanzania kwa ujumla na masalwa ya moviesindustrie.ukiwa kama kiongozi kaka nachukua fursa hii kukuomba uitangaze kaka. www.raythemostgreat.blogspot.com
Wako Mtiifu.
Vincent Kigosi
(Ray the most great

Mandy akiwa kwenye picha ya pamoja na
Mh. Balozi, wenyeji wake, baba mzazi, Kocha na Maofisa wa Ubalozi
Mandy Juma Rajabu Furaji ni kijana mdogo wa Kitanzania aliyebahatika kupata ufadhili wa kuhudhuria chuo maalum cha kufundishia mchezo wa Tennis kiitwacho Tennis Avenue Academy hapa nchini Uingereza.
Kijana Mandy akiongozana na baba yake Bwana Juma Rajabu Furaji na wenyeji wao hapa Uingereza, Bwana na Bibi Mansela, walipata nafasi ya kutembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzania hapa nchini Uingereza, na kupokewa na Mheshimiwa Balozi, Mwanaidi Senare Maajar, pamoja na maofisa wengine wa Ubalozini hapo.
Baada ya kufanyiwa majaribio kadhaa na Walimu na Wataalamu wa Chuo hiko wamefurahishwa na wameridhia na kipaji, kiwango na umakini wa kijana Mandy na kumzawadia Scholarship {Ufadhili} kwa Umahili wake alionao kwenye mchezo huo maarufu wa Tennis.
Ikumbukwe kuwa mchezo huo wa Tennis ni aghari sana nchini Uingereza na kwenye nchi zilizoendelea.
Mandy ataendelea na mafunzo yake ya Tennis chini ya Kocha wake na ambaye ni Mkurugenzi wa chuo hiko cha Tennis Avenue Academy kilichopo maeneo ya New Malden Surrey Bwana Hareen Wasantha.
Unaweza kutembelea chuo hiko kwenye mtandao hapa chini:-http://www.tennisavenue.co.uk/

MANDY JUMA FURAJI ATUA UINGEREZA KWA MAFUNZO YA TENNIS

Kijana Mandy akijidai na bendera ya taifa akiwa ubalozini jiini London leo. Chini akiwa na Balozi wetu Uingereza Mh. Mwanaidi Maajar

DJ Bonny Luv kukosa Labour Weekend Bash DC

DJ Bonny Luv
Kamati ya maandalizi ya Bash la labor day Washington Dc,inasikitika kuwataarifu wadau na mashabiki wa Dj Bonny Luv kuwa kutokana na sababu za kifamilia,ujio wa Dj huyu mahiri umesitishwa mpaka hapo itakapoangazwa tena.
Poleni kwa usumbufu wote utakaotokea.
Ratiba ya Bash ipo pale pale kama
ilivyokua imepangwa.
Karibuni sana kapitali,
asanteni nyote

cosmopolitan football club enzi hizo


kocha mansour magram (shoto) akiwa na kikosi chake cha kazi cha cosmopolitan enzi hizo. wadau wenye data msaada tutani

Friday, August 7, 2009

duka la gesi laripuka kigamboni na kuzua kizaazaa jijini


mdau akipiga taswira ya banda la kuuzia gesi Kigamboni lililowaka moto na kutokea milipuko mikubwa asubuhi ya leo. mtu mmoja amejeruhiwa na nyumba kama tano hivi zimeharibika kutokana na mripuko huo ulioleta fadhaa kwa wakazi wa kigamboni na katikati ya jiji ambako milio ilisikika kama mabomu